Beijing, ChinaRais wa zamani wa Chama cha Soka China (CFA), Chen Xuyuan (pichani) amehukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kosa la kujihusisha na ...
Category: Kimataifa
Madrid, HispaniaBao la penalti la dakika za lala salama la Lucas Paqueta limetosha kuifanya Brazil itoke sare ya mabao 3-3 na Hispania katika mec...
Na mwandishi wetuKocha mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars', Hemed Suleiman 'Morocco' amesema amepata kitu kikubwa kutokana na ushirik...
Na mwandishi wetuUongozi wa klabu ya Yanga na benchi la ufundi la timu hiyo umemkabidhi kiungo Mudathir Yahya mchezo wao wa robo fainali wa Ligi ...
Madrid, HispaniaMshambuliaji wa Real MadrId, Vinicius Junior amejikuta akitokwa machozi mbele ya waandishi wa habari baada ya kukiri kwamba kadhi...
Rosario, ArgentinaPolisi nchini Argentina wanachunguza kuwapo madai ya familia ya mwanasoka maarufu nchini humo, Ángel Di Maria kutishiwa kifo ye...
Barcelona, HispaniaBeki wa zamani wa timu ya taifa ya Brazil na klabu ya Barcelona, Dani Alves ametoka jela (lupango) baada ya kulipa dhamana ya ...
London, EnglandKiungo wa Arsenal, Declan Rice amefurahia kupewa nafasi ya kuwa nahodha wa timu ya England katika mechi ya leo Jumanne dhidi ya Ub...
Na mwandishi wetuTimu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars hatimaye imepata ushindi katika michuano ya Fifa Series 2024 inayofanyika nchini Azerbaij...
Na mwandishi wetuBaada ya kupoteza mchezo wa Fifa Series 2024 kwa bao 1-0 dhidi ya Bulgaria, kaimu kocha mkuu wa Taifa Stars, Hemed Suleiman 'Mor...